Mtao "Ukosefu wa utulivu wa kiakili na usimamizi mubovu wa mchezo umezigharimu timu za Afrika"
Mashabiki wa timu za Afrika katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, walipata pigo kubwa katika siku ya 20 na 21 ya michuano hiyo.
Podcast Index
Browse podcasts by category, open recent episodes, and download audio to listen offline.
SBS Swahili - SBS Swahili
SBS
The 47 Morning Update with Ben Ferguson
Premiere Networks
The Radio National Hour
ABC Australia
En Boca de León
León Krauze
Las noticias en Onda Cero
OndaCero
SBS Indonesian - SBS Bahasa Indonesia
SBS
SBS Ukrainian - SBS Українською
SBS
Capital, la Bolsa y la Vida
Capital Radio
Hartford News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
The Daily Suncast
The Daily Sun
Radio Granada
Cadena SER
Radio Jódar
Cadena SER
SBS Pashto - اس بي اس پښتو
SBS
The Peoples Voice Podcast
Trey Evans
Giornale Orario di RTL 102.5
RTL 102.5 Hit Radio s.r.l.
Dobrovský & Šídlo
Paměť národa
Radio Palencia
Cadena SER
77 WABC MiniCasts
77 WABC
San Diego Padres News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Dallas News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
New York Mets News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Front Burner
CBC
Les experts
BFM Business
Learn English A1 with News | Slow Easy English for Beginners
LinguaWire
RTL Matin
RTL
Ottawa News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Good Game with Sarah Spain
iHeartPodcasts
Morning Edition
NPR
PRIDE Daily
Kev McGrath
PRIDE Daily
Kevin McGrath
Sydney Now
2GB
The Ben Ferguson Podcast
iHeartPodcasts
Johannesburg News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
E o vencedor é...
Observador
Golden State Warriors News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
Les Grandes Gueules
RMC
Miami News Today | 2 Min News | The Daily News Now!
The Daily News Now!
News
SBS
Mashabiki wa timu za Afrika katika Kombe la Dunia la FIFA 2026, walipata pigo kubwa katika siku ya 20 na 21 ya michuano hiyo.
Ada ya maombi ya visa ya mwanafunzi imeongezeka tangu Julai 1 kutoka $2,000 hadi $2,500, huku Visa ya Muda ya Uzamili, au visa nambari 485, sasa inagharimu $5,750.
Katika Siku ya 22 ya Kombe la Dunia la FIFA, Ureno iliwashinda Kroeshia katika mechi ya mwisho ya Kombe la Dunia ya Luka Modrić, Uhispania ili icharaza Austria, na Uswisi ikaishinda Algeria na kufuzu kwa Raundi ya 16.
Wanafunzi wakimbizi wanajenga upya maisha yao nchini Australia kupitia mpango mpya wa majaribio ya makazi, unaounganisha masomo yao ya chuo kikuu na viwanda ambapo kuna uhaba mkubwa wa wafanyakazi kama vile uuguzi.
Polisi wamewakamata vijana wawili baada ya mvulana wa miaka 15 kuachwa afe nje ya kituo cha matibabu cha jamii mjini Melbourne.
Mwaka huu DR Congo ilimaliza ukame wakuto shiriki katika Kombe la Dunia la FIFA baada ya zaidi ya miaka 50.
Bei ya petroli imeshuka hadi viwango ambavyo havijaonekana tangu mwanzo wa 2022. Taasisi ya Petroli ya Australia inasema wastani wa kitaifa wa lita moja ya mafuta yasiyo na risasi ulishuka zaidi ya senti 6 wiki iliyopita...
Siku ya 19 ya Kombe la Dunia la FIFA ilijumuisha mechi tatu za mchujo zenye ushindani mkali, huku Ujerumani na Uholanzi zikiondolewa baada ya mikwaju ya penati, wakati huo huo Brazil ilinyakua ushindi katika mechi yao mu...
Sio kutia chumvi tunaposikia kwamba Kombe la Dunia la FIFA lina tarajiwa kuleta dunia pamoja katika mwezi wa Juni. Baada ya yote, mpira wa miguu unajulikana kama mchezo maarufu zaidi duniani.
Shirika kubwa zaidi huru la habari nchini Uganda Nation media group limearifu kuwa limewekwa chini ya ulinzi mkali wa kijeshi mapema Jumapili.
Wanaume kutoka jumuiya za Afrika Mashariki wanao ishi jimboni New South Wales, wana jiandaa kwa kongamano maalum Jumamosi 27 Juni 2026.
Mweka Hazina wa Shirikisho Jim Chalmers anasema wafanyakazi, wanunuzi wa nyumba za kwanza na vizazi vijavyo watafaidika na sheria zenye utata za mageuzi ya kodi ambazo zimepitishwa hivi karibuni bungeni.Polisi warusha ma...
Socceroos wamefanikiwa kufika hatua ya mchujo baada ya kupata sare yakutofungana katika Kundi D, wakati Ecuador ikiwaacha wajerumani vinywa wazi katika Kundi E na kufuzu kushiriki katika hatua ya timu bora 32.
Nchini Australia, unaweza ona bendera tatu zikipeperushwa pamoja: Bendera ya Taifa ya Australia, Bendera ya Waaborijini na Bendera ya Watu wa visiwa vya Torres Strait.
Hali ya dharura ime anza kutumika nchini Venezuela baada ya matetemeko mawili makubwa ya ardhi, yaliyotokea magharibi mwa mji mkuu wa Caracas, na kuua watu wasiopungua 32 pamoja nakuwajeruhi mamia.
In a recent study of LGBTQIA+ asylum seekers and refugees, nature was used not just as a meeting place, but as an environment where participants felt safe without being questioned or judged. - Katika utafiti wa hivi kari...
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetahadharisha umma kuhusu kuenea kwa kasi kwa ugonjwa wa Ebola.
Lionel Messi amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa Kombe la Dunia, akifunga mara mbili nakusaidia Argentina kuishinda Austria 2-0 mjini Dallas, na kujihakikishia nafasi ya kwanza katika Kundi J, pamoja na nafasi katika h...
Chama cha Greens kimeita mpango wa serikali wa kurekebisha Mpango wa Kitaifa wa Bima ya Watu Wenye Ulemavu kuwa sheria 'isiyo ya kibinadamu'.
Je, unajua jinsi yakuzungumza kuhusu chakula cha starehe wakati wa majira ya baridi?
Fill in the form below. Make sure to select both Country and Genres.
Send us a message below. We will get back to you within 24 hours.